Saturday, August 31, 2013

Aliyoyasema Edward Lowassa kuhusu President Kikwete Washington DC.

.
.
Swahili TV wa swahilitv.blogspot.com ambao wanafanya kazi zao wakiwa Washington DC Marekani, walikutana na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Edward Lowassa kwenye mji huo na kufanya nae interview.
Moja ya alivyovisema Mbunge huyu wa Monduli kuhusu President Kikwete, ni kumsifia kwamba kaifanya Tanzania kupata heshima kimataifa.
 
Anasema kitendo cha Rais wa Marekani Barack Obama kuitembelea Tanzania pamoja na
viongozi mbalimbali wa mataifa makubwakumeonyesha Rais Kikweteanakubalika.
Amekaririwa akisema ‘Ni hivi karibuni  tu  Rais Xi Jinping wa China, Rais Obama na Rais mstaafu wa Marekani  George W.Bush walikuwa Tanzania, hii inaonyesha Tanzania iko juu katika kimataifa, Rais  Kikwete anastahili pongezi sana kwa hilo kwani sio rahisi kwa viongozi wa mataifa makubwa kutembelea nchi nyingine labda kama mko juu sana kimataifa’
Millardayo.com

ANGALIA PICHA ZA KAHABA APEWA KICHAPO BAADA YA KUNASWA AKIJIUZA JIRANI NA MSIKITI

Kahaba  mmoja   alijikuta akiambulia kichapo kikali toka kwa vijana wa kiislamu baada ya kunaswa akijiuza karibu na msikiti wa

HII NDO JEURI YA PESA TOKA KWA JOSE CHAMELEONE..ATENGENEZEWA SIMU AINA YA I-PHONE 5 YENYE PICHA YAKE .ANGALIA HAPA


5790e2d6118111e3ac5422000ab5ba5d_7
Ukiwa na hela, unaweza kufanya lolote. Kila mwenye nazo anaweza kumiliki iPhone 5 lakini Jose Chameleone angependa kuwa na yake mwenyewe, ndio maana ameamua kuingia zaidi mfukoni kutengenezewa yake mwenyewe. Itazame hapa.

SEAN KINGSTON NOMA..!! ABAKA NA KUMLA MTUNGO DEMU ALIELEWA...!!!



Sean Kingston na walinzi wake (Bodyguard) wamemla mtungo msichana (20) aliekuwa amelewa, katika chumba cha Hoteli, 2010.


Carissa Capeloto  ambae kwa sasa ana miaka 22,  anadai  kulazimishwa kufanya ngono na Sean, walinzi wake na member wa bendi ya Sean katika hoteli iliyoko Seattle, Julai, 2010, baada ya yeye kuvuta bangi na kufuta shots 7-10 za vodka.

Capeloto - ambaye amewashitaki watu wote 3, anadai alialikwa katika chumba cha hoteli hiyo na Kingston kwa kukutana-na-kusalimiana (meet and greet) kufuatia tamasha la Bieber, ambapo Ki

LAMPARD WA CHELSEA AOPOA TOTOZ HUYU HAPA


They spend their time juggling their hectic careers with a relationship under the spotlight.
But despite the pressures that come with being in the public eye, Frank Lampard is as close to fiancé Christine Bleakely as ever, describing her as his 'best friend.'
The footballer has opened up about his love for the TV presenter who he will soon wed, while admitting that losing his beloved mother Pat back in 2008 'changed him as a person.'
'Best friends': Frank Lampard has admitted that fiancé Christine Bleakley is his best friend and that they are gearing up for their wedding
'Best friends': Frank Lampard has admitted that fiancé Christine Bleakley is his best friend and that they are gearing up for their wedding
  
'She’s my best mate. Simple as that. Sounds a bit corny but it is like that.' he admitted, while staying tight-lipped about their wedding, which is expected to take place this year.
'We know what we're going to do, and we're going to do it in out own time,' he added, clearly not wanting to give too much away.
Tight-lipped: Frank has admitted that his wedding is imminent, but is keeping the details to himself
Tight-lipped: Frank has admitted that his wedding is imminent, but is keeping the details to himself

PICHA:CHELSEA YAONGOZA SAFARI NZIMA,DAKIKA ZA MWISHO LUKAKU ANAIMALIZA TIMU YAKE


Romelu Lukaku's penalty miss handed Bayern Munich victory in the Europa Super Cup final after a 5-4 shoot out win in Prague.
Fernando Torres had put the Europa League winners ahead with a superb first-time strike after eight minutes, but Franck Ribery, a constant threat for Bayern, equalised just after half-time with a long-range drive.
Loss: Lukaku looks on after his decisive penalty miss in Prague
Loss: Lukaku looks on after his decisive penalty miss in Prague
Champions again: Bayern celebrate the win after Neuer's penalty save
Champions again: Bayern celebrate the win after Neuer's penalty save

PICHA 4 ZA KWANZA NAMNA LULU ALIVYOVAA USIKU HUU KWENYE UZINDUZI WA FOOLISH AGE

1
Elizabeth Michael (Lulu) akiwasili kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam tayari kwa uzinduzi wa filamu yake inayokwenda kwa jina la Foolish Age iliyotengenezwa na Kampuni ya Proin Promotion chini ya Mwenyekiti wake Jonson
Lukaza ambaye ameweza kujitolea kwa hali na mali mpaka kufanikisha utengenezaji wa filamu hii na uzinduzi kwa ujumla, Uzinduzi huo unafanyika usiku huu. 1aLulu akilakiwa kwa mbwembwe na vijana walioandaliwa kwa kazi hiyo.

AUNT EZEKIEL APIGWA CHUPA USIKU AKIWA CLUB



MWIGIZAJI wa  sinema za kibongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Gwantwa’ amenusurika kupasuliwa paji la uso kwa chupa baada ya kupigwa mkononi...
 

Usiku wa kuamkia Jumatatu, nje ya Ukumbi wa Billicanas, mwanamke aliyejulikana kwa jina moja la Yvonne alimpiga Aunt kwa chupa tupu ya bia na kumpasua mkono wa

KAGAME HATAKANYAGA TENA ARDHI YA TANZANIA...


RAIS Paul Kagame wa Rwanda, sasa hayupo tayari kukanyaga ardhi ya Tanzania kutokana na kile kinachoonekana kuwa ni mgogoro wa kidiplomasia unaoendelea kati yake na Rais Jakaya Kikwete.

Wakati hayo yakifikia hapo, kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), linakoketi mjini Arusha kilivunjika baada ya Spika wa bunge hilo, Magreth Zziwa, kugongana kauli na Mbunge mmoja wa Rwanda jambo lililosababisha wabunge wote wa Rwanda kususia kikao na kutoka nje ya ukumbi wa Bunge.

Mwenendo wa hayo yaliyojitokeza jana katika Bunge la Afrika Mashariki hadi kikao kuvunjika, msingi wake ni mgogoro unaowagusa wakuu hao wawili wa dola.

Habari zilizolifikia gazeti hi

WEMA SEPETU ADAIWA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA



Skendo ya mastaa mbalimbali Bongo kutajwa katika biashara na usafirishaji wa madawa ya kulevya ‘unga’ linazidi kuchukua sura mpya ambapo tayari majina ya wasanii wawili wakubwa, Wema Isaac Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ yametajwa huku kinachowaponza kikijulikana.

Habari zinadai kuwa mastaa hao wameanza kujutia tambo zao za kutangaza utajiri walionao hivyo kuibua maswali kuwa huenda wana uhusiano na wafanyabiashara wa dawa za kulevya ikiaminika ndiyo njia ya haraka ya utajiri.

WEMA
Inadaiwa kuwa kitendo cha W

NICK MBISHI ATANGAZA RASIMI KUWA YEYE NI MUATHIRIKA WA UKIMWI



Tumekuwa  tukishuhudiwa  vituko  mbalimbali  vya  wasanii wetu  ambao  wamekuwa  wakihangaika  usiku  na  mchana  kuusaka  umaarufu....

Wapo  ambao  wamekuwa  wakivua  nguo  zao  jukwaani, wapo  ambao  wamekuwa  wakipiga  picha  za  uchi  na  kuzitupia  mitandaoni.Yote  hiyo  ni  kutafuta  Jina  au  umaarufu ambao  mimi  binafsi  nauita  ni  umaarufu  wa  kishamba.....

Leo  Nick  Mbishi  ametoa

WABUNGE WATAKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU ZIFUTWE


MBIO za Mwenge wa Uhuru nusura ziahirishe shughuli za Bunge baada ya baadhi ya wabunge kutaka zifutwe na hoja hiyo ijadiliwe bungeni.
 
Hata hivyo, suala hilo liligeuka shubiri kwa Waziri wa Nchi, Ofisa ya Rais (Utawala Bora), George Mkuchika, kuzomewa na kurushiwa maneno ya kejeli alipojaribu kuzitetea mbio hizo.
 
Chanzo cha mzozo huo k

WAASI WA M23 WAANZA KUSALIMU AMRI BAADA YA KUPEWA KICHAPO KIKALI NA JWTZ ( MONUSCO)



Waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa watasitisha mapigano, kufuatia makabiliano makali na wanajeshi wa serikali wanaoungwa mkono na wanajeshi wa Umoja wa Mataifa ikiwemo  JWTZ.
 
Afisa mmoja wa Kundi hilo la M23 Museveni Sendugo, ameiambia BBC kuwa wanajeshi wake tayari wamerudi nyuma umbali wa kilomita tano kutoka eneo la mapigano.

Wengi wa wapiganaji wa

JESHI LETU LA JWTZ NA MONUSCO LAFANIKIWA KUITEKA NGOME KUU YA WAASI WA M23

ASKARI wa Umoja wa Mataifa wanaolinda amani nchini DR Congo (MUNUSCO), wakiongozwa na vikosi vya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) vimefanya shambulizi la nguvu katika eneo la  Kibati (Nyirangongo Territory, Goma, Eastern DRC), eneo hilo ndiyo iliyokuwa ngome kuu ya waasi wa M23

Shambulio hilo kubwa na la kwanza kufanywa na vikosi vya Umoja wa Mataifa limekuja siku m

DIAMOND ATOA ZAWADI YA GARI KWA MZEE GURUMO



Msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Muhidin Gurumo akijaribu gari dogo alilokabidhiwa na mwanamuziki wa bongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond ‘ kutokana na kutambua mchango wake baada ya kustaafu kazi ya muziki.
Muhidin Gurumo akipokea funguo ya gari kutoka kwa Diamond

ALIYEMPIGA CHUPA AUNT EZEKIEL NDIYE ALIYEMCHANA LULU VIWEMBE


Mtuhumiwa aliyempiga chupa mwigizaji Aunt Ezekiel Jumapili iliyopita nje ya Ukumbi wa Bilicanas ndiye aliyewahi kumchana viwembe mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwaka 2011.

Kumbukumbu  zinaonesha kuwa, mwaka 2011 Lulu alivamiwa na wadada wa mjini baada ya kunaswa katika pozi tata na mwanaume wa watu maeneo ya Kariakoo, jijini Dar. Alipo

RAIS KIKWETE AMUOMBA RAIS WA UGANDA AONGEE NA KAGAME ILI KUMALIZA UGOMVI ULIPO



RAIS Jakaya Kikwete, amewasiliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ili azungumze na Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa nia ya kumaliza mvutano wa maneno kati yao kwa busara.
 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema hayo jana bungeni, alipokuwa akijibu swali la Kiongozi wa Upinzani bungeni, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (Chadema).
 
“Tunataka suala hili limalizike kwa njia ya busara, ili watu waendelee kuchapa kazi, ninaamini busara zitatumika kumaliza tatizo hilo,” alisema.

Akiuliza swali katika kipindi cha maswali ya Papo kwa Hapo kwa Waziri Mkuu jana, Mbowe alitaka

"SINA MPANGO WA KUACHANA NA DIAMOND NA SIJAONA MWANAUME KAMA YEYE"....PENNY



Baada ya hivi karibuni kuandikwa habari iliyoeleza kwamba nchini Kenya kuna demu aliyemzimikia ile mbaya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku akiahidi kumpa penzi zito, mpenzi wa msanii huyo Peniel Mwingilwa ‘Penny’ ameibuka na kudai hatishwi na maneno hayo.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Penny ambaye sasa anapika na kupakuwa kwa Diamond alisema anamuamini sana mpenzi wake huyo na kwamba kuhusishwa kwake na mambo ya mademu kila kukicha kunatokana na kazi yake.

“Yatasemwa mengi lakini

WAASI WA M23 WAMUUA MWANAJESHI WETU WA JWTZ HUKO KONGO


TAARIFA KUHUSU TUKIO LA KUFARIKI KWA AFISA WA JWTZ KATIKA JUKUMU LA KULINDA AMANI - DRC, GOMA

1. Kama mnavyofahamu, JWTZ linashiriki katika operesheni za Umoja wa Mataifa huko Goma DRC. Kikosi chetu kimeendelea kutekeleza majukumu yake ya kulinda amani kama kinavyopangiwa na Jeshi la Umoja wa Mataifa nchini DRC lijulikanalo kama MONUSCO.

2. Tarehe 28 Agosti 2013 wan

RAY C AOKOKA RASIMI...HIZI NI PICHA ZAKE AKIBATIZWA

 

Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za bongo fleva  leo hii amewaka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. Ray C amethibitisha hayo katika post zake za instagram. 

TRAFFIKI FEKI ALIYEKAMATWA HIVI KARIBUNI ALIKUWA NI MFUNGWA WALIYETOROKA GEREZANI




MAZITO tena yameibuka kuhusu yule trafiki feki James Hussein, mkazi wa Kimara Matangini, jijini Dar es Salaam ambaye yuko Gereza la Segerea, Dar akikabiliwa na kesi ya kujifanya askari wa usalama barabarani.

Habari za ndani kutoka Gereza la Isanga, Dodoma zinadai kuwa, trafiki huyo ana mambo mengi ya kushangaza ambayo Watanzania wengi hawayajui.

Mtoa habari wetu alisema kuwa, James Hussein si jina halisi la trafiki feki huyo. Alisema jina lake halisi ni Ali Kinanda.

“Yule jamaa anaitwa Ali Kinanda, sisi kumwona kwenye picha gazetini akijiita James Hussein tulishangaa sana,” kilisema chanzo chetu.

Chanzo kikazidi kud

Saturday, August 10, 2013

BAADA YA COCA COLA KUMLETA DIAMOND NA NDEGE BINAFSI KUTOKA KENYA HIKI NDIO AMEFIKIA KUKIFANYA


Ukimpigia simu na Diamond Platnumz na isipokelewe, usimind sana, sababu hafanyi makusudi, anakimbizana na schedule za kupiga hela tu.

Baada ya jana Cocacola kumchukulia private jet toka Nairobi hadi Dar es Salaam, Bongo Flava Prince, Nasib ameingia mzigoni kushoot tangazo jipya la Cocacola. Kwenye picha za utengenezaji wa tangazo hilo alizoziweka kwenye Instagram, Diamond anaonekana akitembea huku akinywa soda hiyo.


Source:Bongo5

DIAMOND NOMA SANA: ONA ALICHOKIFANYA SOUTH AFRICA ALAFU MSEME DIAMOND ANALOGA-HARD WORK PAYS BWANA


Bongo Flava Prince, Diamond Platnumz yupo nchini Afrika Kusini kishule na kikazi pia. Staa huyo wa Kesho ameshoot video ya wimbo wake mpya ambao bado haujulikani ni upi mpaka sasa.
Hata hivyo tofauti na video zake za awali, hii mpya amekata kisu kirefu zaidi kwa kushoot na miongoni mwa gari yenye thamani zaidi duniani, Ferrari. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa gari hiyo inayotengenezwa na Waitaliano, imewekewa namba za gari binafsi kwa kuandikwa ‘Platnumz’ na Wasafi’.
0b54d01efdd411e2bd3c22000ae90db5_7
Mafundi wa Afrika Kusini wakihakikisha plate ya Wasafi imekaa viz

MWANAMKE ACHOMA MOTO RANGE ROVER SPORT YA BOYFRIEND WAKE KISA WIVU

Wivu noma sana , Dada mmoja huko Mbezi amelitia Kiberiti Gari la mpenzi wake aina ya Range Rover Jipyaaa Baada ya kukuta Condom iliyotumika kwenye gari hilo , Mashahidi wanasema wakati analiwasha moto alikuwa akisema kuwa hilo gari ndio linakutia kiburi mpaka kutembea na wanawake zako ndani ya gari , tuone sasa ukitaka katembee nao vichakani....
Whats your take ?

MUME AMLAWITI MWANAE NA KUMBAKA SHEMEJI YAKE



Bw  Mohammed, mkazi wa Kigamboni jijini Dar amedaiwa kuwafanyia unyama watoto wawili, akimlawiti mwanaye wa kufikia na kumbaka mdogo wa mkewe.Akizungumza na mtandao huu juzi nyumbani kwake, mke wa mtuhumiwa huyo, Zubeda alisema watoto waliofanyiwa hivyo ni mwanaye wa kiume (6) na mdogo wake wa kike (16) (majina tunayo).
 
Mwanamke huyo alisema: Nilikutana na Mohammed nikiwa na mtoto huyo wa kiume, ndani  ya uhusiano w

KIGOGO WA POLISI ‘AKAMATA’ LORI LENYE SUKARI YA WIZI


-NI RPC WA MKOA WA TEMEKE

Na Makongoro Oging'
NI jambo la kufurahisha kuona kwamba polisi wamekataa rushwa ya shilingi milioni 30 baada ya kuwakamata majambazi waliokuwa wakipakia sukari ya wizi jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert I. Kiondo (kushoto) akiwaonesha waandishi wa habari na maofisa wa polisi shehena ya sukari iliyokamatwa.
 
Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyo

HUU NDIYO UTAJIRI WA BILIONEA ALIYEUAWA


Mwili wa Erasto Msuya (kulia) baada ya kupigwa risasi. Kushoto ni gari alilokuwa anatumia.
MAUAJI ya mfanyabiashara bilionea wa Mererani na jijini Arusha, Erasto Msuya aliyeuawa kwa kumiminiwa zaidi ya risasi 20 kwa bunduki ya Sub Machine Gun (SMG) yameibua mazito ikielezwa kuwa jamaa huyo ameacha utajiri wa kutisha.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa Erasto ameacha vitega uchumi vingi ikielezwa kuwa ni miongoni mwa wafanyabiashara wa Mererani wanaoongoza kwa utajiri mk

GERVINHO AHAMIA AS ROMA, YAMNYAKUA KWA £8M


Usajili wa wachezaji mbalimbali unazidi kushika kasi barani ulaya.
Winga Mshambuliaji wa Ivory Coast, Gervais Lombe Yao Kouassi maarufu kama Gervinho amekamilisha uhamisho wa kuichezea As Roma ya Italia.

Gervinho alihamia Asenal mwaka 2011 akitokea Lile ya Ufaransa. Uhamisho huo wa Gervinho umetajwa kuwa wa pound mi

MAGOROFA YABOMOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO


aSKARI POLISI WAKIWA KATIKA DORIA WAKATI WA UBOMOAJI WA MAGOROFA KATIKA BARAB

RWANDA YAMJIBU RAIS KIKWETE.....YADAI IKO TAYARI KUWAPOKEA WANYARWANDA WALIOTIMULIWA


Serikali ya Rwanda imetoa tamko linaloonyesha kutoielewa kauli ya Rais Jakaya Kikwete, iliyoamuru wahamiaji haramu kuondoka nchini, hali inayoonekana kukwepesha hoja. 
Rwanda kupitia waziri wake wa Mambo ya Nje, Louise Mushikiwabo, ilikaririwa ikieleza kwamba hawatajibu mapigo agizo la Rais Jaka

VIDEO YA MFANYABIASHARA AKIMLAWITI MFANYAKAZI WAKE WA DUKANI HUKO MOSHI YAVUJA.


Mfanyabiashara mashuhuri wa mjini Moshi, (jina linahifadhiwa) ameingia katika kashfa nzito baada ya kurekodi mkanda wa video ukimwonyesha akimlawiti mfanyakazi wake wa dukani. 

Kifungu namba 154 cha kanuni ya adhabu kimeweka adhabu ya kifungo cha maisha kwa mtu anayepatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mtu mwingine kinyume cha maumbile.

Video za mfanyabiash

MTAMBO WA DAWA ZA KULEVYA WAINGIZWA NCHINI.

 
Wakati matukio ya baadhi ya vigogo na wasanii maarufu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulenya hayajapoa, imebainika kuwa mtambo maalumu wa kuchanganya na kuziongezea thamani dawa hizo upo hapa nchini.

Taarifa zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa mtambo huo ambao awali ulikuwa unapatikana Mombasa, Ke

WASICHANA WALIOMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR WAMERUDISHWA UINGEREZA....VYOMBO VYA HABARI UINGERZA VYALAANI VIKALI



Mama mwenye hasira wa mmoja wa wasichana wa Uingereza waliomwagiwa acid mjini Zanzibar ameungana na bintiye nchini humo baada ya jana  kuwasili kwa ndege kwenye hospitali kwaajili ya matibabu.
£££-The-two-acid-attack-victims-2145123 Katie Gee, aliyefunikwa blanket, na rafiki yake Kirstie Trup wakiwasili kwenye hospitali ya Chelsea and Westminster nchini Uingereza kutibiwa majeraha yao


Mama huyo, Nicky Gee alion

VIDEO YA MSANII LADY GAGA AKITAMBIKA HUKU AKIWA UCHI YAVUJA

 
Katika  hali  isiyo ya  kawaida, video ya  msanii Lady Gaga  akitambika  uchi  wa  mnyama  yanaswa....

Katika video  hiyo, msanii  huyo  anaoneka  akiondoa  mikosi  yake  porini  huku  akiwa  kama  alivyozaliwa....

Baada ya  kutambika  porini, Gaga  alihamia  mtoni  na  kumalizia  zoezi  lake  la kusafisha  nyota  yake....

Video  iko  JUKWAA  LA  WAKUBWA.

JESHI LA POLISI LATANGAZA DAU LA MILIONI 10 KWA MTU YEYOTE ATAKAYEWATAJA WATU WALIOWAMWAGIA TINDIKALI WAZUNGU WAWILI

 
Zanzibar, Tanzania — Kamanda wa Polisi, Kamishna Musa Ali Musa amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kutoa Shilingi milioni 10/= kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazofanikisha kukamatwa kwa watu waliowashambulia mabinti wawili kutoka Londona, Uingereza,  Kirstie Trup na Katie Gee.

Mabinti hao walishambuliwa kwa tindikali usoni, kifuani na mikononi siku ya Jumatano walipokuwa njiani kuelekea kwenye chakula cha jioni.

Credit: Mpekuzi

"NAPE NA CCM NI AMA AIUE AU IMUUE"...HII NI KAULI YA GAZETI LA MAWIO ILIYOMKERA SANA NAPE.

 
Video mbili zimepachikwa hapo chini baada ya hoja ifuatayo ya Ben Saanane — Nape Nnauye anadhalilisha vijana wenzake na Wazee, Madaraka aliyopewa ni makubwa kwake  


Nimesikitishwa sana na kauli iliyonukuliwa kutolewa na Nape Nnauye(Katibu wa itikadi na Uenezi wa CCM).

Gazeti la MAWIO la tarehe 8/8/2013 toleo namba 055 ukurasa wa 5 lililikua na kichwa cha habari NAPE NA CCM ‘Ni ama Aiue Ama Imuue’


 Katika kauli zake

WAUMINI WA KIISLAMU WACHOMANA VISU JIJINI MBEYA ...SHEIKH AUMIZWA VIBAYA WAKATI WA IBADA YA IDD


WAUMINI wa dini ya Kiislamu waliokuwa katika ibada ya Swala ya Idd El Fitri katika msikiti mkuu wa Ijumaa uliopo Wilayani Kyela mkoani Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya Shekhe wao aliyekuwa akiongoza ibada kuvamiwa kibla wakati akiendesha ibada na kujeruhiwa.

Tukio hilo la aina yake limeto

RAY C AENDELEA KUSIMULIA JINSI ALIVYOSHAWISHIWA KUVUTA BANGI NA MADAWA MENGINE ( SEHEMU YA MWISHO)

Kipande cha mwisho cha kipindi cha The Interview cha Clouds TV ambapo kilihusisha mahojiano na mwanamuziki Rehema Chalamila aka Ray C kilirushwa jana usiku.
Katika sehemu

SHEHA ALIYEKUTWA NA BANGI ATIMULIWA KAZINI HUKO UNGUJA


SERIKALI katika mkoa wa Kusini Unguja, imemtimua kazi Sheha wa Kitumba, Mtwana Kificho, ambaye wiki iliyopita nyumbani kwake alikutwa na majani makavu yanayosadikiwa kuwa bangi baada ya polisi kufanya ukaguzi.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Un