Saturday, July 20, 2013

BAADA YA MANGE KUMUANDIKA SINTAH-SINTAH NAE JANA KAJIBU HAYA HAPA CHINI

IJUMAA YA MAJANGA


"Hellow Wadauzii

Naombeni niwaambie binafsi mimi nipo pouwa kabisa, na sijachukua mkopo popote na huyo aliosema nimechukua mkopo naomba atoe hizo documents ili nyie wawadau wetu mjue kama ni kw

ODAMA AWAJIBU WANAOMTUHUMU KUZIFANYIA " PHOTOSHOP " PICHA ZAKE NA KUDANGANYA ALIKUWA ULAYA


Baada ya kuzagaa kwa habari zikimtumu mwanadada wa filamu Tanzania Jennifer Kyaka aka Odama kwamba huzifanyia makeke ya photoshop picha zake na kuwadanganya wananchi kuwa amezipigia Ulaya, ameongea na na  mwandishi wet

VIDEO YA KIJANA AKIFANYA MAPENZI NA MBWA YANASWA

VIDEO YA KIJANA AKIFANYA MAPENZI NA MBWA YANASWA


Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, kijana  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  mbwa.

Katika  video  hiyo, kijana  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya  mbwa  dume  anayesaka  watoto.

Video  iko  hapo  chini:

 ( Ni kwa watu wazima pekee)

CHADEMA YAJITOA KUWANIA UMEYA WA ARUSHA


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuachana na kuwania umeya wa Jiji na badala yake kimemwomba Meya, Gaudence Lyimo (CCM), atende haki.

Katibu wa Kanda ya Kaskazini wa chama hicho, Amani  Golugwa alisema jana, kwam

MASHABIKI WAMPONDA WEMA SEPETU BAADA YA KUYAANIKA MATITI YAKE MTANDAONI

 
“Did I miss a spot…? I dunno,” ni maneno ya Wema kwenye picha aliyoiweka leo katika mtandao wa Instagram. 


Hata hivyo mashabiki wengi wamemshambulia mrembo huyo kwa kile wanachohisi hakupaswa kuiweka katika mwezi huu mtukufu wa Rama

PICHA ZA UCHI ZA MISS UTALII TANZANIA ZAVUJA MITANDAONI

 Wakati  maelfu ha waumini wa dini la Kiislam duniani wakiwa ndani ya mfungo mtukufu ,hali imekuwa tofauti  kwa aliyekuwa mshiriki wa shindano la kumtafuta M

MSHIRIKI WA TANZANIA ( NANDO ) AAMBUKIZWA MAGONJWA YA ZINAA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA MGHANA KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER



 Akiongea  kwa  uchungu  na  huzuni  mbele  ya  Bimp,Nando ambaye  ni Mshiriki wa Tanzania  amemlaani  mshiriki wa  Ghana  kwa  kumwambukiza  GONJWA LA  ZINAA...

Nando  amelinyaka  gonjwa  la  zinaa  maarufu  kwa  jina  la  "Chlamydia"  na  hivi  sasa  yu

PICHA ZA USHUHUDA WA WANACHAMA 5 WA CUF WAKIELEZA JINSI WALIVYOTESWA NA ASKARI HUKO MTWARA

 Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kutoka (kulia) ni, Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mtwara Mjini, Ismaili Njalu. Katibu wa Wilaya ya Mtwara mjini, Said Kulanga na Mwenyekiti wa Wilaya ya Mtwara mjini, Salum Mohamed wakiwaonesha waandishi wa habari majelaha waliyoyapata baada ya kupigwa na Wanajeshi wa Wananchi (JWTZ) katika mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Cham

HIKI NDO KICHAPO WANACHOPEWA WAASI WA M23 NA JESHI LA KONGO ( FARDC )

 Goma -DRC.
WAKATI mapigano yakizidi kuwa makali kati ya wanajeshi wa DR Congo (FARDC) na kundi la waasi wa M23, wanajeshi wa DRC wako hatarani kushitakiwa kwa tuhuma za kuwatesa waasi na kunajisi maiti zao.
 
Wana

BAADA YA JANUARI MAKAMBA KUDAI KUWA MNYIKA NI "MNAFIKI".....ZITTO KABWE NAYE AMEAMUA KUINGILIA KATI MZOZO HUO

Hizi  ni  tweets  za  viongozi  wetu  wakitupiana  lawama  kuhusu  swala  la  kodi  ya  line  kiasi  cha  kuitana  "MNAFIKI"....

SEHEMU NYETI 12 ZINAZOMPA RAHA MWANAMKE



Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu. Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.

Mapenzi

MR. NICE APATA SHAVU JINGINE NCHINI KENYA BAADA YA KUTEMWA NA GRANDPA


Ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja toka staa wa Bongo Luca Mkenda aka Mr Nice apoteze nafasi ya kufanya kazi na label ya GrandPa ya Kenya kwa shutuma za uvivu, kushindwa kutoa ushirikiano na ukiukaji wa mkataba hatimaye mlango mwingine umefunguka kwa nyota huyo wa ‘Kikulacho’.


Mr Nice

WEMA SEPETU APANDISHWA KIZIMBANI KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUMTUKANA MENEJA WA HOTELI



KUNA kila dalili kwamba mrembo anayetamba kwenye filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu   jela inamwita na anatakiwa kufanya maombi ili kukwepa kifungo maishani mwake.

Hali hiy

MR. NICE APATA SHAVU JINGINE NCHINI KENYA BAADA YA KUTEMWA NA GRANDPA


Ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja toka staa wa Bongo Luca Mkenda aka Mr Nice apoteze nafasi ya kufanya kazi na label ya GrandPa ya Kenya kwa shutuma za uvivu, kushindwa kutoa ushirikiano na ukiukaji wa mkataba hatimaye mlango mwingine umefunguka kwa nyota huyo wa ‘Kikulacho’.


Mr Nice ambaye bado yuko Kenya anatarajia kujiunga na label nyingine nchini humo ‘Candy Records’ ambayo ina miezi michache toka ianzishwe. 


Kwa mujibu wa CEO wa label hiyo John Kariuki aliyekuwa akizungumza katika ufunguzi rasmi wa label hiyo jijini Nairobi, alisema wako katika hatua za mwisho kukamilisha mpango wa Mr Nice kusain mkataba nao kama ilivyoripotiwa na Niaje.


Label hiyo tayari imesha wasain wasanii kadhaa wa Afrika Mashariki akiwemo hit maker wa ‘Ulofa’ Top C wa Tanzania, pamoja na wengine kutoka Kenya.

Friday, July 5, 2013

TAZAMA PICHA ZA MASANJA NA SHILOLE WALIPOTEMBELEA OFISI ZA VOA NA IKULU YA MAREKANI AKA WHITE HOUSE HAPA

Hbari
USISAHAU KU LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPA CHINI, USIPOLIKE MUNGU ANAKUONA
Kutoka kushoto ni Mery Mgawe, Hadija Riyam, Shilole, Sunday Shomari, Dr. Hamza Mwamoyo, Ilham Dirran, Masanja na Raymond Maro katika picha ya pamoja wakati wasanii Shilole n Masanja walipotembelea studio za Voice Of America Idhaa ya Kiswahili Jijini Washington.
Msanii

MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 05.07.2013


.
.

Mzee Mandela kuzikwa Qunu


Gari la kubeba maiti likiwasili katika eneo la Mvezo Resort kuchukua mabaki ya miili ya watoto watatu wa Nelson Mandela iliyokuwa imezikwa kinyemela katika eneo hilo na mjukuu wa kiongozi huyo, Mandla. Picha na AFP 

Kwa ufupi
  • Hilo ni kosa na ni kinyume cha sheria za nchi. Maeneo ya makaburi yanalindwa na sheria hivyo ukienda kuchimbua mabaki ya marehemu pasipo kibali kinachokubalika kisheria kufanya hivyo ni matatizo na ndicho kilichotokea kwa sababu sheria hazikufuatwa (Profesa Gutto.)
Hatua hiyo

Mzee Mandela kuzikwa Qunu


Gari la kubeba maiti likiwasili katika eneo la Mvezo Resort kuchukua mabaki ya miili ya watoto watatu wa Nelson Mandela iliyokuwa imezikwa kinyemela katika eneo hilo na mjukuu wa kiongozi huyo, Mandla. Picha na AFP 

Kwa ufupi
  • Hilo ni kosa na ni kinyume cha sheria za nchi. Maeneo ya makaburi yanalindwa na sheria hivyo ukienda kuchimbua mabaki ya marehemu pasipo kibali kinachokubalika kisheria kufanya hivyo ni matatizo na ndicho kilichotokea kwa

"WIMBO MAJANGA UMENIPA DILI LA KUREKODI MOVIE AFRIKA KUSINI "– SNURA.

 MWIGIZAJI wa kike na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi amedai kuwa muziki ulimpa dili ya

FBI WAINGIA ARUSHA KUCHUNGUZA BOMU LA SOWETO

 
Askari wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), tayari wapo Arusha kushirikiana na polisi ili kuchu

BOMOA BOMOA YA POMBE MAGUFULI YAANZA.....JENGO LA BUSINESS PARK ( GREEN ACRES ) LABOMOLEWA

 Baada Waziri wa Ujenzi, Pombe Magufuli kutoa maagizo kwa wenye majengo yaliyo pembezoni mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi, kubomoa wenyewe majengo yao ili kupisha upanuzi wa barabara hiyo, kuonekana yakisua sua, hatimaye leo ameanza rasmi kazi ya kubomoa kwa Greda katika majengo ya wale walioonekana kukaidi agizo hilo. 


Katika kutekeleza agizo hilo zoezi hilo limeanzia kwenye Jengo la Business Park (Green Acres) lililopo eneo la Victoria ambapo hadi hivi sasa zoezi hilo bado linaendelea pande hizo chini ya usimamizi ya Askari
 Msong

MWANAUME ALIYEKUWA AKIJIFANYA NI " JOKATE MWEGELO" HUKO FACEBOOK AKAMATWA NA POLISI



 Hapa ni wakati Jokate alipoamua kukaa na Mpeka kistaarabu kuongea nae kabla ya hatua za kisheria

 Message  alizotumia watu kweny

KWA MARA YA KWANZA RUNINGA NCHINI UINGEREZA ITARUSHA ADHANA YA ASUBUHI

Ukiwa unakaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani, kwa mara ya kwanza kabisa chaneli ya 4 ya televisheni ya nchini Uingereza itakuwa ikirusha hewani moja kwa moja adhana ya sala ya asubuhi.

Justine Bower mkurugenzi wa masuala ya umma wa chaneli ya 4 ya televisheni ya nchi hiyo amesema kuwa, kanali hiyo itakuwa ikirusha moja kwa moja adhana ya asubuhi kwa ajili ya wananchi wa Uingereza. 



Ameongeza kuwa, waumini wa dini ya Kiislamu wapatao milioni mbili na laki nane nchini humo wataanza mfunguo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani siku chache zijazo. Bower amesema kuwa kanali hiyo pia itakuwa ikirusha hewani adhana kupitia mtandao wa kanali hiyo.

 Alipoulizwa wamejiandaa vipi kukabiliana na ukosoaji kwa hatua hiyo, Justine Bower amesema kuwa, karibu asilimia 5 ya wananchi wa nchi hiyo wako katika pilika pilika za kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani. 



Amesema kuwa, mwezi wa Ramadhani hufungwa na waumini wa dini ya Kiislamu kila mwaka, na nitawashangaa watu watakaostaajabishwa na uwepo wa utambulisho huo wa kidini.   

(Radio Tehran  via  Wavuti)

UWOYA AJICHORA MAKANYAGIO YA MWANAE MGOGONI


Staa  wa muvi za Bongo, Irene Pancras Uwoya ameonesha upendo wake kwa mwana

WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER


Wakati  baadhi ya  watanzania  wakifurahia  madudu  ya  washiriki  wetu  ndani  ya  jumba  la  Big Brother, wenzetu  wa  Ethiopia  wameanza  kuchukua  hatua  stahiki  dhidi  ya 

SHILOLE ATINGA DUKANI HUKO MAREKANI AKIWA NA TAULO TU...

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland nchini Marekani ambapo staa huyo amekwenda kwa ajili ya kufanya shoo kisha kupigwa picha hiyo na rafiki yake ambaye aliiweka mtandaoni ikimuonesha akiwa amefunga taulo kwenye matiti.
 

Mwandishi wetu alipomuuliza Shilole kulikoni kupitia mtandao wa Instagram, alifunguka:
 

“Huku watu wanaishi kizungu hakuna mtu anayeshughulika na maisha ya mwenzake kila mmoja anahangaika na mambo yake kwa hiyo siyo ajabu mimi kuvaa taulo na kwenda nalo supermarket, huku ni kawaida tu.”

GPL

JESHI LA MISRI LAMUONDOA MADARAKANI RAISI MOHAMMED MORSI

  
jeshi nchini Misri limemuondoa madarakani Rais aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia nchini h

Mfanyabiashara awagonga na gari watu sita

MFANYABIASHARA AWAGONGA NA GARI WATU 6.....KISA NI WIVU WA MAPENZI

 
Watu sita wamejeruhiwa vibaya ikiwemo kuvunjika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili huku mmoja wao akiwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili baada mfanyabiashara kuwagonga kwa gari huko Bahari beach.

AJALI ZAENDELEA KUTUMALIZA WATANZANIA.....TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

 Ajali hii ilitokea jana jioni  tarehe 02/07/2013, baada ya gari dogo lililokuwa linatokea maeneo ya

FBI WAINGIA ARUSHA KUCHUNGUZA BOMU LA SOWETO

 
Askari wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), tayari wapo Arusha kushirikiana na polisi ili kuchunguza tukio la mlipuko wa bomu la kutupa kwa mkono kwenye mkutano wa kampeni za Chadema.

Katika tu

KANYE WEST AKATAA KUUZA PICHA YA MWANAE KWA MAMILIONI YA PESA


Watu wengi walitegemea kuiona picha ya kwanza ya mtoto North West hapo jana lakini mambo yalik